Jumanne, 12 Novemba 2013


'SIKU YA MLIPAKODI' Afisa Idara ya Forodha kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Pemba, Abdalla Hassan akizungumza na wafanyabiashara kisiwani Pemba, kwenye mkutano wa kuwakabidhi vyeti ya ulipaji kodi bora, anae mwangalia katikati ni Afisa Mdhamini Wizara ya Fedha Pemba Bakar Haji (picha na Haji Nassor, Pemba)

 'KAMA MCHEZO VILE' WANAFUNZI wa skuli ya maandalizi ya QAMARIA ya mjini Wete Mkoa wa kaskazini Pemba, wakionyesha mavitu yao kwenye sherehe za siku ya wazazi zilizofanyika ukumbi wa Benjamini Mkapa Wete, ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk (picha na Haji Nassor, Pemba)