'NATIMIZA AHADI' KULIA ni Meneja wa hoteli ya Manta resort ya Makaangale Micheweni Pemba, Mathew Saus akimkabidhi Mwenyekiti wa wavuvi wilaya ya Micheweni Mkubwa Said Ali, dola 4000, sawa na zaidi ya shilingi 6.4 milioni za Tanzania, ikiwa ni kutimiza ahadi yao kwa wavuvi hao, mara ujenzi wa chumba cha CHINI ya bahari kitakapomalizika (picha na Haji Nassor 12.10.2013)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni