Ijumaa, 20 Septemba 2013

'UWANJA FRESH SOKA JE' Ni uwanja wa Gombani Chake chake Pemba, ambao kwa sasa umeshawekea nyasi bandi, haya ni matunda ya mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964, ambapo kwa sasa yanatimiza miaka 50 kwa mwaka 2014, sasa uwanja upo lakini soka je ? (picha na Haji Nassor, Pemba) 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni