'KAZALIWA 1985- KAFA 2013' Aliekuwa mpiga picha wa kujitegemea kutoka 'the best photo studio' ya mjini Chake chake, Ali Khatib Haji, ambae amefariki dunia tarehe 19/09/2013 majira ya saa 2:40 baada ya kijana huyo kuigonga gari, yeye akiwa na vespa wakati gari hiyo ikikatisha kuelekea Tibirinzi karibu na benki ya watu wa Zanzibar PBZ mjini Chake chake, na kijana huyo akitokea mjini kwenda upande wa Machomane.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni