'KAZALIWA 1985-2013 KUFA' Aliekuwa mpiga picha wa kujitegemea ''the best photo studio', Ali Khatib Haji wa mji wa Chake chake, akiwa kazini kabla ya kifo chake katika skuli ya Michakaini Chake chake, kijana huyo alifariki kutoka na ajili ya gari baada ya yeye kuigonga gari kwenye eneo la benki ya watu wa Zanzibar PBZ Chake chake, wakati gari ikikaisha kwenda Tibirinzi, tarehe 19/09/2013 saa 2:40 usiku.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni