MKUU wa mkoa wa kusini Pemba Juma Kassim Tindwa, akizungumza na wanajumuia ya JUKAMKUM hawapo pichani kabla ya uzinduzi wa mradi maalum wa kuwafikia vijana 80 wanaotumia dawa za kulevya na waliokatika mazingira hatarishi ya kutumia dawa hizo, hafla hiyo ilifanyika uwanja wa Gombani Chake chake Pemba, kulia ni mjumbe wa JUKAMKUM Fatma Marzouk Kombo na kushoto ni Mussa Mohamed (picha na Haji Nassor, Pemba)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni