Ijumaa, 6 Septemba 2013


 'CHUNGA KICHWA CHAKO TU' Mchezo kiumbizi ambao ulikuwa marufu sana katika kijiji cha Pujini Wilaya ya Chake chake, sasa umeonekana kupotea kwa kasi na kuonekana kwenye sherehe za kitaifa pekee (picha na Haji Nassor, Pemba)

'KWANZA NAKATA UTEPE' Makamu wa pili wa rais wa Zanzibar balozi, Seif alipofika Chambani Wilaya ya Mkoani, kufungua skuli ya kijiji hicho, akishuhudiwa kwa karibu na Naibu Waziri wa Elimu Zanibar Zahara Ali Hamad (picha na Haji Nassor, Pemba)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni