Jumamosi, 7 Septemba 2013
''DAR-MPAKA SOUZ'' Mmiliki wa blog hii kushoto mwenye kofia Haji Nassor, akikabaidhiwa TUZO ya uhsindi wa kuwasilisha makala za JINSIA mwezi Machi 2013 huko hoteli ya Blue Parl Ubungo jijini Dar es Salaam, ambapo baadae mwezi April , 2013 sasa safari ikiwa ni SOUZ kwa ajili ya kuiwalikisha Tanzania katika kazi kama hiyo, ingawa hakufanikiwa kushina namba moja.''NIASHINDA? Mmiliki wa blog hii mwenye kofia akifuatilia kwa karibu matokeo ya uwasilishaji wa makala za jinsia Jijini Dar, ambapo badae alishinda na kukabidhiwa tuzo na GENDER LINK
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni