Ijumaa, 6 Septemba 2013


 'AMA HILI GOLI' Mshambuliaji wa timu ya Kiziambani aliembele na mpira akiwa ameshampita mlinzi wa timua ya Jamhuri Seif Saleh ambapo mshambuliaji huyo Mfanyeje Mussa alifanikiwa kuipatia timu yake goli la pili, kwenye mchezo wa Ligi kuu ya Zanzibar uliochezwa Septemba 6, 2013  uwanja wa Gombani ambapo Kiziambani ILISHINDA kwa magoli 2-0 (picha na Haji Nassor, Pemba)

'HAMUPITI HAPA' Mwenye jezi no 6 ni mlinzi wa timu ya Kizimbani Ali Othuman Ali, akisaidiana na mlinzi mwenzake mwenye jezi no 17 Mohamed Juma Mohamed wakiwazuia washambuliaji wa timu Jamuri kwenye mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar uliochezwa Septemba 6, 2013 uwanja wa Gombani, ambapo Kizimbani ILISHINDA kwa magoli 2-0 (picha na Haji Nassor, Pemba) 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni