Jumapili, 18 Agosti 2013



MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Dadi Faki Dadi akiangalia bidhaa za wajasiriamali Pemba, kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Vijana ambapo kwa Zanzibar yalifanyika uwanja wa Madungu Polisi mjini Chake chake Pemba (picha na Haji Nassor, Pemba)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni