'RURAL REPORTING' Waandishi wa habari waliowengi wamekuwa wakibakia mjini kwa ajili ya kuandika habari za semina, makongamano na kuwaandikia wanasiasa pekee, mmiliki wa blog hii (HAJI NASSOR) kushoto akizungumza na Mjumbe wa Jambo Group iliopo kwanzani Wambaa Mkoani Pemba Mkubwa Haji Bakar, wakati timu ya waandishi wa habari wa Gazeti la Zanzibar leo walipofika kijijini huko (picha na Omar Hassan TSJ)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni