WAZIRI wa Katiba na Sheria Zanzibar ambae pia ni Mwakilishi wa Jimbo Mgogoni Pemba, akizunguma katika kongamano la vijana, la bara la katiba lililoandaliwa na Jumuia ya Vijana Kaskazini Pemba (NPYO) , kulia ni Mwenyekiti wa Jumuia hiyo Said Massoud na kushoto na Mhadhiri wa Chuo kikuu Zanzibar SUZA, Ali Haji Vuia (picha na Haji Nassor, Pemba)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni