Ijumaa, 30 Agosti 2013


'RAHA YA HABARI ZA VIJIJINI' MWENYE kofia mbele ni Katibu wa 'Jambo group' Hafidh Juma Ali akiwa amefuatana na waandishi wa habari, wa pili Omar Hassan kutoka chuo cha habari TSJ, mara baada ya kumaliza mahojiano na wanajambo Group juu ya maendeleo ya ushirika wao (picha na Haji Nassoor, Pemba)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni