Jumamosi, 24 Agosti 2013

MENEJA wa Islamic benki tawi la Chake chake Pemba Yussuf Ali akizungumza na watendaji wa SMZ Pemba ambapo aliwataka kuwahimiza wafanyakazi wao kuchukua mikopo kwenye tawi hilo, picha na Haji Nassor, Pemba

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni