Ijumaa, 30 Agosti 2013

''SOGEA HUKO'' WANANCHI wa shehia ya Matele Chambani Mkoani Pemba, wakijumuika pamoja katika ujenzi wa barabara yao kwa kiwango cha kifusi, ujenzi unaofadhiliwa na TASAF awamu ya Pili, (picha na Haji Nassor, Pemba)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni