Wajumbe wa Kamati Tendaji TASAF Pemba wakipozi kwenye picha ya pamoja huko Chuo cha Amali Vitongoji mara baada ya kumaliza warsha ya kuwajenge uwezo kwenye TASAF awamu ya tatu, ambapo kutoka kushoto ni DC wa Mkoani Jabu Khamis Mbwana, Dc wa Chake chake Mwanajuma Majid Abdalla, Mkurugenzi Mtendaji TASAF Ladis Salsu Mwamanga , RC wa Kusini Pemba Juma Kassim Tindwa akifuatiwa na RC wa Kaskazini Pemba Dadi Faki Dadi na watendaji wengine wa TASAF makao makuu TASAF (picha na Haji Nassor, Pemba)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni