MMILIKI WA BLOG KWENYE SHINDANO AFRIKA KUSINI
Mmiliki wa blog hii Haji Nassor akiwa mbele ya majaji kwenye shindano maalum la Uandishi wa makala za Jinsia, baada mmiliki wa blog hii kushinda katika ngazi ya kitaifa nchini Tanzania mwezi Machi mwaka 2013, na kisha kwenda nchini Afrika kusini kushiriki shindano la kimataifa, ambapo hakufanikiwa kuibuka mshindi mwenzi April mwaka 2013.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni